Wednesday, December 15, 2010

maisha ni mazuri hata kama ni ya shida

mara nyingi katika maisha ya kila mtu kuna wakati ambapo kila kitu kinakuwa kama kilivyo pagwa. Nakuna wakati mwingine mtu unaona kama kila kitu katika maisha yako hakiendi sawa. Nahapo ndipo mtu usipo kuwa makini unaweza ukafanya maamuzi ambayo badala ya kurekebisha hali yanafanya hali kuwa mbaya zaidi. kwa maana hiyo mtu unapoona kwamba kuna mkazo wa mambo (stressing situation) nivuzuri ukae chini utulie na ujulize ni tatizo gani linalo nisababishia stress, na kitu gani naweza kufanya ili kubadisha hali hiyo. Jee kunakitu ambacho kipo ndani ya uwezo wangu kinachoweza kurekebisha hali? au ni msaada gani nahitaji ili nirudi katika hali ya kawaida? jee nikweli kila kitu kinayumba katika maisha yangu? kama kila kitu kinayumba jee ni kipi na kipi haswa kinacho yumba. (be specific on these questions)
hili ndio waza la leo. Kama unaswali lolote tafadhali usisite kuniandikia kuppitia( emanubita@gmail.com)

No comments:

Post a Comment